
Mgomo wa usafiri nchini Kenya uliosababishwa na kupanda kwa bei ya mafuta umeathiri shughuli katika miji mbalimbali. Waandamanaji wamefunga barabara huku serikali ikikabiliwa na shinikizo la kupunguza gharama za maisha.
Kusikiliza matangazo, tafadhali bonyeza alama ya spika ya masikioni hapo chini, na kuwasiliana nasi: kiswahili@dw.com