Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Tabianchi na mazingira

Grugbey Nuah, mnufaika wa mradi wa IFAD wa kuboresha uzalishaji wa mazao hususan kakao, au TCEP nchini Liberia.
IFAD

IFAD Liberia: Kutoka dereva wa teksi hadi mkulima wa kakao

Kilimo bora cha kakao huko Liberia kimemwondolea uchovu na kukosa kulala, mkazi wa kaunti ya Nimba, kaskazini mashariki mwa Liberia, baada ya mradi wa mfuko wa Umoja wa Mataifa wa Maendeleo ya Kilimo, IFAD nchini humo kumwezesha sio tu kugeukia kilimo, bali pia kuajiri vijana wengine na hivyo kufanikisha lengo la Umoja wa Mataifa la kuondokana na umaskini.

Sauti
1'51"