Wanahabari wakumbatia kampeni ya kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi nchini DRC
Katika mji wa Ramogi, Mukambo jimboni Ituri nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), wanahabari wanaonekana wakiongoza juhudi za kuodoa taka ya plastiki na taka zingine kutoka mifereji ya sokoni.