Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Mashariki ya Kati

Wanaume wawili wakishikilia makazi ya hema huku msimu wa hewa ya baridi ukiendelea huko Gaza.
UN News

Watoto watota kwa mvua Gaza, huku baridi kali ikitishia afya zao

Huko Gaza Kaskazini, kwenye eneo la wapalestina linalokaliwa na Israeli, wanafamilia zilizofurushwa makwao kutokana na vita kati ya Israeli na wanamgambo wa Hamas wanavumilia msimu wa baridi kali katika makazi ya muda ya mahema yanayopigwa na upepo na mvua usiku na mchana, limesema shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia Watoto UNICEF. Nyumba zao zimeharibika na kuacha watoto kuishi katika mazingira mabaya. 

Sauti
2'18"