Vichwa vya Habari
Habari Moto Moto
Chaguo la Mhariri
Makala Maalum
Afya
HPV ni kifupi cha Human Papilloma Virus ambayo ni chanjo dhidi ya saratani ya shingo ya kizazi.
Ina nafasi muhimu katika kutokomeza ugonjwa huu unaoathiri mamilioni ya wasichana na wanawake.
Katika kila dakika 2, mwanamke mmoja anakufa kutokana na saratani ya shingo ya kizazi.
Kuna baadhi ya maeneo idadi ya wagonjwa wapya ni ya juu hadi inatisha
Habari kwa Picha
Historia ya UN na usaidizi wa kulinda amani Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Walinda amani Umoja wa Mataifa wanaohudumu kwenye Ujumbe wa Umoja huo wa kulinda amani nchini DRC, wanaendelea kuisaidia nchi hiyo inapokabiliana na ukosefu wa usalama, vita, na janga la kibinadamu.
Habari Nyinginezo
Ukuaji wa Kiuchumi
Ripoti mpya ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa (UNDP) iliyotolewa leo Februarai 20, 2025 inaonya kwamba uchumi wa Syria hautafikia kiwango chake cha kabla ya vita hadi mwaka 2080 kama ukuaji wa kiuchumi hautaongezeka kwa kasi.
Msaada wa Kibinadamu
Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula Duniani WFP, limerejelea kwa kiasi usambazaji wa misaada ya chakula katika sehemu za Goma, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), likitoa msaada muhimu wa lishe kwa wastani wa watoto wenye umri wa miezi 6 hadi miezi 59 waliokumbwa na utapiamlo, huku mapigano ya wiki tatu yakizidi kuathiri vibaya upatikanaji wa chakula kwa wale walio hatarini.